Lyrics

Posted on Jan 15, 2023

Bebe nimepandwa na mizuka ya we

Njo nikubebe hii mida wanga tunaruka debe

Tembeza kijiti Leo uunamoka na wee

Ukisha Muziki naondoka nawe

Mikimikikiii maparanawe aaah aah

Kwichikwichi mpaka upagawe oyaaah

 

Juu mpaka juu mpaka chini

Juu mpaka juu mpaka chini

Juu mpaka juu mpaka chini

Juu mpaka Juu

Juu mpaka Juu

 

Nikilewa naonda nawee eeeh eeeh eh

Funga mkanda mkanda mkanda

Ni Mimi na wewe eeh eeh eeeeh

Mpaka parapanda panda panda Aya ayaah aya ayaah

 

Juu mpaka juu mpaka chini

Juu mpaka juu mpaka chini

Juu mpaka juu mpaka chini

Juu mpaka Juu

Juu mpaka Juu

 

 

Aaah unavyokata

aaah unanipandaa

Aaah unavyokata

mzuka unanipanda